Raila Odinga aongoza vinara wa NASA kuomba kura Narok
Published on: September 09, 2017 08:32 (EAT)
Muungano wa Nasa hii leo ulikita mizizi kaunti ya Narok huku Raila akisisitiza kwamba yuko tayari kwa uchaguzi ila ni sharti mabadiliko yafanyike katika tume ya IEBC kulingana na utafiti uliochangia uamuzi wa mahakama kubatilisha kuchaguliwa kwa Rais Uhuru Kenyatta.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment