Raila Odinga asema wafuasi wa NASA watasusia makampuni hasimu
Published on: September 27, 2017 08:36 (EAT)
Kinara wa Nasa Raila Odinga sasa anatishia kuwa wafuasi wake watasusia kutumia bidhaa zinazotengezwa na kampuni ambazo zilihusika katika makosa yaliyosababisha kuvurugika kwa chaguzi wa Agosti Nane. Odinga aliyekuwa akizungumza alipokutana na viongozi kutoka jamii ya wamaasai alisisitiza kuwa uchaguzi wa marejeo tarehe 26 mwezi Oktoba hautakuwa huru na haki iwapo tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC haitatilia maanani mapendekezo yao
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment