Raila Odinga azindua kitabu chake

Kinara wa NASA Raila Odinga leo amezindua kitabu chake kinachoeleza maono yake kwa taifa, na changamoto ambazo ni kizingiti cha maendeleo ya Jamhuri ya Kenya. Kuu zaidi likiwa ukabila. Na huku Odinga aikizindua kitabu hicho na kuhudhuria mazishi ya Nkaiserry kinara mwenza Moses Wetang’ula aliongoza kikosi cha nasa kunasa kura za kaunti ya Marsabit.

Tags:

raila odinga NASA Marsabit The Quest For Nationhood

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories