Raila Odinga azindua kitabu chake
Published on: July 15, 2017 08:28 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga leo amezindua kitabu chake kinachoeleza maono yake kwa taifa, na changamoto ambazo ni kizingiti cha maendeleo ya Jamhuri ya Kenya. Kuu zaidi likiwa ukabila. Na huku Odinga aikizindua kitabu hicho na kuhudhuria mazishi ya Nkaiserry kinara mwenza Moses Wetang’ula aliongoza kikosi cha nasa kunasa kura za kaunti ya Marsabit.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment