Raila Odinga azindua kitabu chake

Kinara wa NASA Raila Odinga leo amezindua kitabu chake kinachoeleza maono yake kwa taifa, na changamoto ambazo ni kizingiti cha maendeleo ya Jamhuri ya Kenya. Kuu zaidi likiwa ukabila. Na huku Odinga aikizindua kitabu hicho na kuhudhuria mazishi ya Nkaiserry kinara mwenza Moses Wetang’ula aliongoza kikosi cha nasa kunasa kura za kaunti ya Marsabit.

Tags:

raila odinga NASA Marsabit The Quest For Nationhood

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories