Raila: Tutaanza maandamano kesho kote nchini
Published on: October 01, 2017 08:59 (EAT)
Vinara wa muungano wa NASA hii leo wamefanya kempeni zao katika kaunti za Busia na Kakamega na kupuzilia mbali madai kuwa chama cha Jubilee kitazoa kura nyingi magharibi mwa nchi. Kinara wa NASA Raila Odinga akichukua fursa hiyo kuionya serikali ya Jubilee dhidi ya kuifanyia katiba marekebisho.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment