Raila: Wafuasi wetu watasusia uchaguzi
Published on: October 21, 2017 08:38 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga hii leo amekuwa katika kaunti ya Siaya na kuendeleza wito wake wa kuwataka wafuasi wa NASA kususia marudio ya uchaguzi wa urais. Kwingineko kinara mwenza Musalia Mudavadi naye ameendeleza kampeni hizo hizo katika kaunti ya Kakamega.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment