Raila: Wafuasi wetu watasusia uchaguzi

Kinara wa NASA Raila Odinga hii leo amekuwa katika kaunti ya Siaya na kuendeleza wito wake wa kuwataka wafuasi wa NASA kususia marudio ya uchaguzi wa urais. Kwingineko kinara mwenza Musalia Mudavadi naye ameendeleza kampeni hizo hizo katika kaunti ya Kakamega.

Tags:

raila odinga NASA SIAYA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories