Raila: Wakenya 15 waliuliwa jana Nairobi
Published on: November 18, 2017 08:16 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga amelaani vikali serikali kwa ghasia ambazo zilishuhudiwa jana hapa jijini Nairobi baada ya makabiliano baina ya polisi na wafuasi wa NASA kugeuka vurugu na mauaji. Awali Raila alimtembelea mbunge wa Kathiani Robert Mbui katika hospitali ya Nairobi baada ya kujeruhiwa kwenye ghasia hizo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment