Rais aahirisha ziara yake eneo la Magharibi
Published on: March 28, 2017 08:11 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ameahirisha ziara yake ya mkoa wa magharibi siku moja tu baada ya kusitisha mkutano mwengine kaunti ya Meru. Kulingana na Rais Kenyatta, hatua hiyo imesababishwa na maandalizi ya mchujo wa chama cha Jubilee. Rais Kenyatta alitarajiwa kuzuru kaunti zote za mkoa wa magharibi mwishono mwa wiki hii. Stephen Letoo na taarifa hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment