Rais aingilia kati kutatua mzozo wa uongozi wa Jubilee bungeni

Rais Uhuru Kenyatta amelazimika kuingilia kati mzozo ambao umekumba chama cha Jubilee bungeni kufuatia hatua ya wabunge wanne kukiuka mikakati ya chama hicho katika uchaguzi wa kamati mbalimbali bungeni. Rais Kenyatta sasa yadaiwa ametaka kamati hizo ziandae uchaguzi upya kulingana na matakwa ya chama hicho huku akiwataka wabunge hao wanaongozwa na mbunge wa Nandi Hills Alfred Keter kukomesha vitendo vinavyokinzana na matakwa ya chama hicho. Hatua ambayo baadhi ya wabunge hao wamepinga vikali

Tags:

Jubilee Party President Uhuru Kenyatta Alfred Keter justin muturi Parliamentary labour committee

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories