Rais aomba Wakwale wampe nafasi nyingine

Rais Uhuru Kenyatta amewaonya magavana ambao wanatumia vibaya mamlaka au mali ya umma kuwa mkono wa sheria utawanasa baada ya uchaguzi.
Katika kampeni za Jubilee huko pwani, rais amewakashifu magavana Hassan Joho na Amason Kingi kwa kulemaza maendeleo Mombasa na Kilifi.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE william ruto KWALE

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories