Rais aongoza hafla ya kuzindua vitabu vya kusoma
Published on: January 05, 2018 07:46 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amezindua mpango wa kuwasilisha vitabu vya kusomea kwa wanafunzi wote wa kidato cha kwanza, darasa la saba na la nane wa shule za umma. Mpango huo ambao utagharimu serikali bilioni 3.2 umepunguza gharama ya vitabu kwa thuluthi mbili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment