Rais aongoza Jubilee Nyanza, Kisumu na kupokewa vyema
Published on: July 12, 2017 09:23 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto leo walielekeza kampeni za Jubilee katika kaunti za Homa Bay na Kisumu ambapo walizundua miradi kadhaa ya maendeleo huku wakiwaomba wakazi wawapigie kura. Hata hivyo, viongozi hao wa Jubilee walikumbana na mapokezi mseto walipoingia Homa Bay.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment