Rais aongoza Jubilee Nyanza, Kisumu na kupokewa vyema

Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto leo walielekeza kampeni za Jubilee katika kaunti za Homa Bay na Kisumu ambapo walizundua miradi kadhaa ya maendeleo huku wakiwaomba wakazi wawapigie kura. Hata hivyo, viongozi hao wa Jubilee walikumbana na mapokezi mseto walipoingia Homa Bay.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE william ruto kisumu Homa Bay

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories