Rais aongoza kampeni Kiambu na Muranga
Published on: October 14, 2017 08:25 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amepuuza ombi la kinara wa NASA Raila Odinga la kuitaka jamii ya kimataifa kuingilia kati mzozo wa kisiasa humu nchini na kusisitiza kuwa uamuzi uko mikononi mwa Wakenya watakaopata fursa ya kumchagua rais wanayemtaka tarehe 26 mwezi huu. Rais Kenyatta alikuwa akizungumza alipoendeleza kampeni za Jubilee katika kaunti za Kiambu na Murang’a
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment