Rais aongoza kampeni Kiambu na Muranga

Rais Uhuru Kenyatta amepuuza ombi la kinara wa NASA Raila Odinga la kuitaka jamii ya kimataifa kuingilia kati mzozo wa kisiasa humu nchini na kusisitiza kuwa uamuzi uko mikononi mwa Wakenya watakaopata fursa ya kumchagua rais wanayemtaka tarehe 26 mwezi huu. Rais Kenyatta alikuwa akizungumza alipoendeleza kampeni za Jubilee katika kaunti za Kiambu na Murang’a

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE kiambu muranga

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories