Rais aongoza kikosi chake Bomet
Published on: June 16, 2017 07:58 (EAT)
Kambi ya Jubilee imepeleka mikikimikiki yake leo katika kaunti ya Bomet kaunti ambayo gavana wake ni mmoja wa vinara wakuu wa muungano wa upinznai wa NASA na kama anavyotupasha Gatete Njoroge, Rais Kenyatta ametumia ngome hiyo ya Isaac Ruto kuwakashifu Wapinzani kwa kile alichokitaka kuwa ni ukosefu wa ruwaza na ajenda kwa taifa hili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment