Rais aongoza taifa katika sherehe za Madaraka mjini Nyeri
Published on: June 01, 2017 08:54 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ameliongoza taifa kuadhimisha miaka 54 tangu Kenya ilipojipatia mamlaka ya ndani ya kujitawala. Katika hafla hiyo iliyofanyika mjini Nyeri, Rais alitumia jukwaa hilo kupigia debe mafanikio ya serikali yake na kuwaomba wananchi kumpa nafasi nyingine wakati wa uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment