Rais apeleka kampeni Narok
Published on: June 09, 2017 08:04 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amesema kwamba serikali haitaruhusu mtu yoyote kuwagawanya wakenya au kuharibu mali ya mtu mwengine rais, pia, amesema kwamba Kenya itaendelea kupambana na ugaidi. kadhalika rais aliongoza mkutano wa kampeni za Jubilee katika kaunti ya Narok.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment