Rais awataka magavana wawajibikie fedha za kaunti
Published on: December 14, 2017 08:05 (EAT)
Kongamano la magavana limefunguliwa rasmi leo na Rais Uhuru Kenyatta katika eneo la Diani, kaunti ya Kwale. Rais Kenyatta amewataka Magavana kuwachukulia hatua kali wahudumu wa serikali zao wanaohujumu ufanisi wa ugatuzi kwa kuendekeza ufisadi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment