Rais awataka magavana wawajibikie fedha za kaunti
Published on: December 14, 2017 08:05 (EAT)
Kongamano la magavana limefunguliwa rasmi leo na Rais Uhuru Kenyatta katika eneo la Diani, kaunti ya Kwale. Rais Kenyatta amewataka Magavana kuwachukulia hatua kali wahudumu wa serikali zao wanaohujumu ufanisi wa ugatuzi kwa kuendekeza ufisadi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment