Rais awataka wapinzani kuheshimu uhuru wa IEBC

Rais Uhuru Kenyatta amewafokea viongozi wa mrengo wa upinzani kwa kutishia uhuru wa tume ya uchaguzi nchini na idara ya mahakama. Kenyatta anadai vinara wa NASA ni wanademorkasia ghushi, huku akiwataka kuiruhusu IEBC kusimamia uchaguzi mkuu bila kuingilia utendakazi wake. Naye naibu wake William Ruto akiwapa changamoto wana NASA waamue iwapo ni wachezaji au waamuzi, kwenye kinyang’anyiro cha mwezi Agosti.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE DP labour

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories