Rais azindua bohari la reli ya kisasa Nairobi
Published on: December 16, 2017 08:04 (EAT)
Serikali imezindua rasmi huduma ya kupokea, kukagua na kusafirisha mizigo kupitia bohari jipya la reli ya kisasa hapa jijini Nairobi. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Rais Uhuru Kenyatta amethibitisha kuwa wafanyibiashara watakaotumia kituo hicho watapokea turuhani au diskaunti ya hadi asilimia 50.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment