Rais Kenyatta aagiza maafisa wa NTSA kuondoka barabarani
Published on: January 09, 2018 08:11 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ameamuru maafisa wa halmashauri NTSA kuondoka barabarani mara moja. Akizungumza katika mazishi ya makasisi watatu walioaga dunia katika ajali Huko Meru, Rais Kenyatta alisema kwamba maafisa wa NTSA wanastahili kusalia katika ofisini zao wakibuni sheria na kuwachia polisi wa trafiki kazi ya kutekeleza sheria hizo barabarani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment