Rais Kenyatta afungua kituo cha kutibu saratani
Published on: August 24, 2017 09:12 (EAT)
Wanaogua saratani sasa wamepata afueni baada ya kuzinduliwa kwa mashine mpya ya matibabu katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta. Hospitali hiyo sasa ikiwa na mashine tatu za matibabu na moja zaidi ya uchunguzi, muda wa kusubiri matibabu sasa utapungua kutoka miezi mitatu hadi mwezi mmoja. Aidha wagonjwa 190 wataweza kutibiwa kila siku.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment