Rais Kenyatta aimarisha ngome yake Murang’a

Rais Uhuru Kenyatta amepuuzilia mbali madai ya kinara wa NASA Raila Odinga kuwa majeshi yanapangiwa kutumiwa kuiba kura. Katika ziara yake huko Murang’a, rais amemkashifu Raila kwa kuingiza siasa katika masuala ya usalama na kumtaja kama ambaye ananuia kuleta mgawanyiko wa kikabila. Rais Kenyatta amesema kuwa mafunzo yanayotolewa kwa maafisa wa usalama kwa sasa yanahusisha maafisa kutoka pembe zote za nchi na   yanahusiana na mikakati ya kiusalama wakati wa uchaguzi.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE muranga kembi Gitura

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories