Rais Kenyatta akosoa NASA kwenda kortini
Published on: July 18, 2017 08:58 (EAT)
Siku ishirini pekee kabla ya uchaguzi mirengo mikuu ya kisiasa ingali ianzozana kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu, Rais Uhuru Kenyatta sasa akiwashtumu wananasa kwa kufika mahakamani wakitaka uchaguzi uahirishwe iwapo IEBC haitakuwa na mpango mbadala wa kielektroniki wa kuandaa uchaguzi huo.
Haya yanajiri huku afisa mkuu wa IEBC Ezra Chiloba akishikilia kuwa tume hiyo imejiandaa vilivyo pamoja na mipango mbadala endapo mfumo wa sasa utafeli.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment