Rais Kenyatta akutana na viongozi wa kanda ya Mlima Kenya
Published on: September 15, 2017 08:35 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ameitaka tume ya uchaguzi kujukumika na kuandaa uchaguzi kwa wakati uliowekwa ili kusiwe na mtafaruku wa kikatiba na kuwanyima wananchi haki ya kuwachagua viongozi wao. Rais anasema kuwa muungano wa Nasa unataka tukio kama hilo lifanyike ili kusiwe na uchaguzi na kisha kizaazaa kitakachofuata kisababishe mazungumzo ya kuunda serikali ya muungano.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment