Rais Kenyatta aongoza Jubilee Kisii
Published on: June 06, 2017 09:23 (EAT)
Waathiriwa elfu saba wa ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 ambao walifukuzwa kutoka kwao katika kaunti ya Kisii watapata shilingi elfu 43 kila mmoja. Hii ni baada ya rais kenyatta kutoa shilingi milioni 358 kwa waathiriwa hao. Rais Kenyatta ambaye amefanya kampeni za kutaka kuchaguliwa tena katika kaunti hiyo amewataka wenyeji kufanya kampeni na uchaguzi wa amani ili matukio kama hayo yasishuhudiwe tena.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment