Rais Kenyatta aongoza kikosi cha Jubilee Busia
Published on: June 14, 2017 09:21 (EAT)
Kampeni za kukipigia debe chama cha Jubilee katika kaunti ya Busia na ambazo ziliongozwa na Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto zilisheheni zawadi kochokocho za maendeleo wa wenyeji na ahadi zinginezo iwapo Jubilee itashinda katika uchaguzi ujao. Deni la wavuvi wa Budalangi kwa halmashauri ya AFC ilifutiliwa mbali huku rais na ujumbe wake wakizamia suala la uhaba wa unga na maendeleo yaliyofanywa chini ya serikali yake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment