Rais Kenyatta aongoza kikosi chake Isiolo
Published on: September 27, 2017 08:29 (EAT)
Ujumbe kuwa umoja ni nguvu ulikithiri katika mikakati ya Jubilee ya kutafuta kupigiwa kura katika kinyang’anyiro cha Oktoba 26 huku Rais Kenyatta akikutana na waliobwagwa kwenye uchaguzi wa Agosti ikuluni naye Naibu Rais akifanya kampeni katika kaunti ya isiolo. Naibu rais william ruto amesema kuwa lazima marekebisho ya kisheria yafanyike ili iwe vigumu kwa idara ya mahakama kupuuza uamuzi wa wananchi kabla ya kuhesabu kura walizopiga.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment