Rais Kenyatta aongoza maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta kufariki

Rais Kenyatta aongoza maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta kufariki

Rais Uhuru Kenyatta hii leo ameongoza nchi katika kufanya maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, kufariki mnamo tarehe 22 mwezi Agosti mwaka 1978.

Katika hafla iliyoandaliwa katika kanisa la mtakatifu Stefano jijini Nairobi, rais Kenyatta aliwahimiza wakenya kuungana ili kulijenga taifa kama waanzilishi wetu walivyokusudia.

Aidha Naibu wake, William Ruto, aliapa kuwa serikali ya Jubilee itaendeleza misingi ya utangamano katika makabila yote 44 za kenya.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories