Rais Kenyatta aongoza wanajubilee Bonde la Ufa
Published on: June 12, 2017 08:13 (EAT)
Vinara wa Jubilee wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta hii leo wamezuru kaunti ya Nandi na kushutuma muungano wa NASA kuwa wana nia ya kuendeleza kesi za icc iwapo wataibuka washindi. Chama cha Jubilee sasa kimewaonya wafuasi wake wasishawishiwe na ahadi za muungano wa NASA wakidai lengo lao ni kuwarudisha ICC baada ya uchaguzi.
Stephen Letoo na taarifa hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment