Rais Kenyatta apuuza madai ya upinzani
Published on: November 28, 2016 08:45 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta anaendeleza ziara yake katika eneo la katikati mwa nchi ambapo amezuru eneo bunge la kieni katika kaunti ya Nyeri ambapo ameshuhudia kuzunduliwa kwa ujenzi wa soko jipya la chaka ambalo litagharimu takriban shilngi bilioni moja pamoja na miradi nyinginezo. Hassan Farah na kina cha taarifa hii…
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment