Rais Kenyatta asema upinzani unaogopa uchaguzi

Rais Uhuru Kenyatta amemkosoa kiongozi wa Nasa Raila Odinga kwa wafuasi wake kuzua rabsha jijini Nairobi na katika maeneo mengine akisema kuwa serikali itawakabili wote watakaoshiriki fujo. Rais ambaye alikuwa akifanya kampeni zake huko Maai Mahiu amesema kuwa japo uhuru wa kuandamana upo kwenye katiba, hakuna aliye na haki ya kuharibu mali ya watu.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories