Rais Kenyatta awaongoza wanaJubilee kujinadi bonde la Ufa

Rais Uhuru Kenyatta ameongoza kikosi cha Jubilee kujinadi katika maeneo mbalimbali ya Bonde la Ufa akiwataka wafuasi wake kujitokeza kwa wingi wakati wa marudio ya uchaguzi wa rais Oktoba 17.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE Isaac Ruto Kapkatet

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories