Rais Kenyatta na Gavana Joho walumbana

Gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho aligeuza jukwaa la Rais Uhuru Kenyatta kuwa la malumbano ya kisiasa, kwa kutofautiana vikali na rais kuhusu uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Buxton pamoja na miradi mingine aliyozindua leo mijini humo. Joho anadai kuwa serikali ya Jubilee haijaanzisha mradi wowote Mombasa ila inaendeleza miradi iliyoanzishwa kitambo.

Tags:

Mombasa Hassan Joho Rais Uhuru Kenyatta Daraja la Buxton

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories