Rais mteule wa Marekani ashikilia msimamo wake
Published on: November 14, 2016 08:05 (EAT)
Wabunge wa Jubilee kutoka kaunti ya Nairobi waliotwikwa jukumu la kumpigia debe Rais Uhuru Kenyatta kwenye uchaguzi mkuu ujao hii leo walifanya mkutano, na kuamua kufanya kazi pamoja ili kuhakikisha kuwa wamenyakuwa kiti cha ugavana kutoka kwa muungano wa Cord.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment