Rais na Naibu wake wafanya kampeni kaunti ya Bungoma
Published on: October 19, 2017 08:09 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wameapa kuhakikishia kila mkenya atakayeshiriki katika uchaguzi wa marudia alhamisi ijayo usalama wake.
Wakiwa katika msafara wa kampeni magharibi mwa kenya na bonde la ufa, wawili hao wameshtumu muungano wa upinzani kwa kuhujumu haki ya wakenya ya kidemokrasia.
Aidha jubilee imeshikilia msimamo kuwa haiko tayari kufanya mazungumzo na upinzani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment