Rais na naibu wake wazuru Kisii
Published on: October 05, 2017 08:41 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wamewarai wenyeji wa kaunti za Kisii na Nyamira kuchagua maendeleo na serikali ambayo inawajumuisha watu kutoka makabila mbalimbali na wala wasihadaiwe na wapinzani. Kwenye kampeni katika kaunti hizo mbili, rais amesema kuwa upizani ni kisima cha wachache tu ambao ni yao ni kuvuruga amani ili uchaguzi usifanyike tarehe 26 kama unavyopangiwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment