Rais na Naibu wake wazuru Kwale na Kilifi

Rais Uhuru Kenyatta hii leo ameendeleza kampeni za jubilee katika eneo la Pwani kwa siku ya pili mfululizo huku rais akizuru kaunti za kwale na kilifi. Rais Kenyatta akiwasuta wapinzani wake katika muungano wa nasa akiwalaumu kwa kushindwa kuanzisha maendeleo katika eneo hilo walipokuwa uongozini. Stephen letoo na taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories