Rais na naibu wake wazuru Nyandarua, Laikipia na Nakuru
Published on: June 02, 2017 07:50 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amewataka wananchi kuzingatia kutimizwa kwa ahadi alizotoa mwaka 2013, watakapofanya uamuzi terehe nane mwezi Agosti. Rais na naibu wake William Ruto wamewarai wenyeji wa kaunti za Nyandarua, Laikipia na Nakuru kumruhusu muhula wa pili ili akamilishe mipango ya maendeleo aliyonayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment