Rais na Naibu wapiga siasa viungani mwa Nairobi
Published on: October 23, 2017 08:42 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine amewaonya viongozi wa upinzani nasa dhidi ya kusambaratisha uchaguzi wa marejeo siku ya alhamisi akiahidi kuwa serikali itakabiliana vilivyo na wale watakaodhubutu kuvuruga amani. Rais Kenyatta alikuwa akizungumza alipoongoza kampeni za mwisho za Jubilee hapa jijini
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment