Rais Pombe Magufuli asema wasichana waliozaa wasirudi shuleni
Published on: June 24, 2017 09:14 (EAT)
Tangazo la rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kuwa wasichana wanaojifungua wakiwa shuleni wasipewe nafasi ya kuendelea na masomo limezua mjadala mkali miongoni mwa wazazi, washikadau wa elimu na mashirika ya kijamii. Samuel Mwalongo ameandaa taarifa hiyo kwa kina kutoka Tanzania.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment