Rais Uhuru aishawishi jamii ya wakuria impigie kura

Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto leo wamezidisha kempeni za kutafuta kuchaguzliw akatika kinyang’anyiro cha tarehe 26 kwa kukutana na ujumbe kutoka jamii ya wakuria na kufanya kampeni Vihiga. Rais na naibu wake wakiahidi maendeleo kochokocho kwa wenyeji wa maeneo hayo iwapo watachaguliwa tena, wamewataka wananchi kueneza amani na utangamano na kupuuza siasa za kikabila ambazo wanasema zinaenezwa na muungano wa NASA.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE Kisii Kuria

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories