Rais uhuru aongoza kampeni za Jubilee Narok
Published on: April 07, 2017 08:23 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amewataja viongozi wa upinzani kama watu ambao wanatafuta uongozi ili kujinufaisha wenyewe. Akitafuta kura katika kaunti ya Narok, Rais Kenyatta amesema kuwa viongozi wa upinzani wanajitakia makuu tu na kupanga watakavyogawana mamlaka na wala hawana ajenda yoyote ya kuboresha maisha ya wananchi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment