Rais Uhuru Kenyatta aongoza kampeni za Jubilee jijini
Published on: September 09, 2017 08:28 (EAT)
Kenyatta amepuuzilia mbali vitisho vya muungano wa Nasa kususia uchaguzi wa marudio ulioratibiwa kufanyika Oktoba 17.
Katika bustani ya uhuru hapa jijini Nairobi, viongozi hawa wa Jubilee pia wamezidisha makali yao kwa mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati wakimtaka atatue migogoro inayokumba IEBC.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment