Riboti ya moto shuleni
Published on: May 19, 2017 08:51 (EAT)
Usimamizi mbaya, matumizi ya pombe na kuabudu shetani vimetajwa kama baadhi ya maovu yaliyosababisha vingi vya visa vya moto kwenye shule za humu nchini kama ilivyoshuhudiwa mwaka jana. Haya ni kwa mujibu wa ripoti iliyotayarishwa na jopo maalumu lililobuniwa kuchunguza visa hivyo ambavyo viliathiri masomo katika nyingi ya shule za upili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment