Ripoti ya tathmini ya mitambo ya IEBC kuwasilishwa kortini
Published on: August 29, 2017 08:51 (EAT)
Msajili wa mahakama ya juu anatarajiwa kuwasilisha ripoti ya ukaguzi wa mitambo ya IEBC sawia na fomu za 34a na 34b, kama alivyoamrishwa na jopo la majaji saba wanaosikiza kesi inayopinga uchaguzi wa Rais Uhuru Kenyatta. Licha ya muungano wa Nasa kuoyesha kutamaushwa kwao na jinsi shughuli hiyo ilivyofanyika mchana w
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment