Ripoti ya tathmini ya mitambo ya IEBC kuwasilishwa kortini

Msajili wa mahakama ya juu anatarajiwa kuwasilisha ripoti ya ukaguzi wa mitambo ya IEBC sawia na fomu za 34a na 34b, kama alivyoamrishwa na jopo la majaji saba wanaosikiza kesi inayopinga uchaguzi wa Rais Uhuru Kenyatta. Licha ya muungano wa Nasa kuoyesha kutamaushwa kwao na jinsi shughuli hiyo ilivyofanyika mchana w

Tags:

raila odinga NASA supreme court IEBC servers access IEBC severs

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories