Royal Media Services yatamba

Watu wanaoishi na ulemavu kote nchini watanufaika kutokana na mradi wa kuwapa bidhaa za kuwawezesha kujikimu kimaisha iliyozinduliwa na shirika la Kenya Re pamoja na kampuni ya Royal Media Services inayomiliki runinga ya Citizen. Kwengineko ni kuwa wakazi wa nakuru hii leo walipata fursa ya kutangamana na watagangazaji wa Radio Citizen waliozuru mji huo kukutana na mashabiki na kuwatuza

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories