Ruto asisitiza mazungumzo ya kitaifa sharti yahusu maendeleo

Naibu Rais William Ruto amezidi kuweka wazi msimamo wa serikali kuhusiana na wito wa upinzani wa mazungumzo akisema aina yoyote ya mazungumzo sharti yajikite katika maendeleo na wala sio masuala ya kisiasa. Naye kinara wa chama cha Maendeleo Chap Chap Alfred Mutua amepuuzilia mbali wito huo wa mazungumzo lakini akasema kama yatafanyika basi yashirikishe pande zote kikiwemo chama chake

Tags:

NASA dialogue William Ruto Alfred Mutua

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories