Ruto: Chagueni Jubilee iwaletee miradi ya maendeleo
Published on: January 28, 2017 09:06 (EAT)
Mchakato wa kuwarai Wakenya wajitokeze kwa wingi kusajiliwa kuwa wapigakura unazidi kutokota huku chama cha Jubilee kupitia naibu wa rais William Ruto kwa siku ya pili sasa kikilenga kura za kaunti ya Turkana.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment